Mon, 29 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa kikapu Ligi Kuu ya NBA, anayecheza klabu ya @suns Kevin Durant ameingia kwenye orodha ya wafungaji bora wa muda wote kwenye ligi hiyo baada ya leo Januari 29, 2024 kufunga alama 15 dhidi ya @orlandomagic na kufikisha alama 28,000.
Nyota wa kikapu Ligi Kuu ya NBA, anayecheza klabu ya @suns Kevin Durant ameingia kwenye orodha ya wafungaji bora wa muda wote kwenye ligi hiyo baada ya leo Januari 29, 2024 kufunga alama 15 dhidi ya @orlandomagic na kufikisha alama 28,000.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live