Tue, 11 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa mpira wa kikapu, Hasheem Thabeet amejumuishwa kwenye kikosi cha Timu ya Taifa ya mpira wa kikapu Tanzania kitakachojiandaa na michezo ya kuwania kufuzu michuano ya FIBA AfroCAN 2023.
Mchezaji wa mpira wa kikapu, Hasheem Thabeet amejumuishwa kwenye kikosi cha Timu ya Taifa ya mpira wa kikapu Tanzania kitakachojiandaa na michezo ya kuwania kufuzu michuano ya FIBA AfroCAN 2023. Hasheem (@hasheemthedream) ni miongoni mwa wachezaji 22 walioitwa ambao wataiwakilisha nchi katika michezo hiyo itakayofanyika Jijini Dar es Salaam kuanzia Juni 17 - 23, 2023.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live