Wed, 18 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kuelekea mashindano ya mpira wa Kikapu barani Afrika (BAL), Hasheem Thabeet amefunguka kuhusu uamuzi wa kurejea nyumbani kushiriki katika timu ya PAZI ya mpira wa kikapu Tanzania.
Kuelekea mashindano ya mpira wa Kikapu barani Afrika (BAL), Hasheem Thabeet amefunguka kuhusu uamuzi wa kurejea nyumbani kushiriki katika timu ya PAZI ya mpira wa kikapu Tanzania. Hasheem Thabeet anaeleza moja kati ya vitu ambavyo anaamini vikifanyika vitasaidia kukuza mchezo wa Basketball nchini Tanzania ni pamoja na kurejesha mchezo huo mashuleni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live