Msanii wa Bongo Fleva Ommy Dimpoz ameiomba serikali kujenga uwanja wa basketball kama ilivyo kwenye nchi zingine, kauli hiyo ameitoa jana kwenye mchezo wa fainali kati ya Dar City dhidi ya JKT.
Msanii wa Bongo Fleva Ommy Dimpoz ameiomba serikali kujenga uwanja wa basketball kama ilivyo kwenye nchi zingine, kauli hiyo ameitoa jana kwenye mchezo wa fainali kati ya Dar City dhidi ya JKT. "Huko nyuma ilikuwa tofauti mara nyingi ukija kwenye basketball ulikuwa unakuta wanaume wengi lakini leo unaona watoto wazuri walivyo jaa, kwa hiyo hamasa iendelee napia naomba serekali ifanyie kazi tupate uwanja mzuri wa basket Wala Kama wenzetu Rwanda."