Ligi ya mpira wa kikapu Mkoa wa Dar es Salaam BD LEAGUE 2023 imetamatika kwa @darcitybasketball upande wa ligi ya wanaume kuibuka mabingwa wapya, huku VBQ @vbcbasketball kuwa mabingwa kwa upande wa ligi ya wanawake ikiwa ni mara ya pili mfululizo.
Ligi ya mpira wa kikapu Mkoa wa Dar es Salaam BD LEAGUE 2023 imetamatika kwa @darcitybasketball upande wa ligi ya wanaume kuibuka mabingwa wapya, huku VBQ @vbcbasketball kuwa mabingwa kwa upande wa ligi ya wanawake ikiwa ni mara ya pili mfululizo. Nyota @tyrone_edward96 wa @outsidersbasketball ameibuka MVP wa msimu huku @vegan.auntie wa @mchengaqueens MVP kwa upande wa ligi ya wanawake wa msimu, lakini @officialpg_ally wa @darcitybasketball ameibuka MVP wa fainali kwa wanaume wakati @tee_ndossi11 wa VBQ kwa wanawake ameibuka MVP wa fainali.