Sun, 30 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baraza la Sanaa Tanzania BASATA usiku wa kuamkia leo limetangaza washindi wa tuzo muziki Tanzania (TMA) za mwaka 2022 jijini DaresSalaam.
Wakati @masterjtz anamtangaza Producer @s2kizzy kama Producer bora wa HipHop wa mwaka Tanzania Music Awards amesema S2Kizzy ametengeneza Hits nyingi sana na amestahili kushinda.
Mtayarishaji bora wa muziki wa bongo fleva kwa mwaka 2022 @abbah_process ambaye amehusika katika ngoma kibao za bongo fleva mwaka jana ameshinda tuzo ya producer bora wa mwaka wa Bongo Fleva.
#TanzaniaMusicAwards #TMA
Chanzo: www.tanzaniaweb.live