Sun, 30 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baraza la Sanaa Tanzania BASATA usiku wa kuamkia leo limetangaza washindi wa tuzo muziki Tanzania (TMA) za mwaka 2022 jijini DaresSalaam.
Tuzo ya wimbo bora wa kushirikiana tuzo za Tanzania Music Awards ni ngoma ya Nitongoze ya @rayvanny na @diamondplatnumz.
#TanzaniaMusicAwards #DiamondPlatnumz #Rayvanny #WCB
Chanzo: www.tanzaniaweb.live