Sun, 30 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baraza la Sanaa Tanzania BASATA usiku wa kuamkia leo limetangaza washindi wa tuzo muziki Tanzania (TMA) za mwaka 2022 jijini DaresSalaam.
Tuzo ya Mwanamziki Bora nje ya Tanzania kwenye usiku huu wa Tuzo za Muziki kwa Mwaka 2022 imeenda kwa Hayati Rapa Costantinos Tsobanoglou (Costa Titch).
Ikumbukwe kuwa, Costa Titch aliyefariki wa dunia akitumbuiza jukwaani mwezi uliopita, amewahi kufanya kazi na baadhi ya wasanii wa Bongo akiwemo Diamond na Mbosso.
#TanzaniaMusicAwards #TMA
Chanzo: www.tanzaniaweb.live