Sun, 30 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baraza la Sanaa Tanzania BASATA usiku wa kuamkia leo limetangaza washindi wa tuzo muziki Tanzania (TMA) za mwaka 2022 jijini DaresSalaam.
Nasemajeee @djallybi ndiyo DJ bora wa mwaka katika Tuzo za Muziki za Tanzania, Mzee wa maneno kidogo pesa mingii.
#DJAllyB #TMA2022 #TanzaniaMusicAwards.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live