Sun, 30 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baraza la Sanaa Tanzania BASATA usiku wa kuamkia leo limetangaza washindi wa tuzo muziki Tanzania (TMA) za mwaka 2022 jijini DaresSalaam.
Baraza la Sanaa Tanzania BASATA usiku wa kuamkia leo limetangaza washindi wa tuzo muziki Tanzania (TMA) za mwaka 2022 jijini DaresSalaam. @Tuzo ya Wimbo bora wa Hip Hop wa mwaka imeenda kwa @rosa_ree ikiwa ni tuzo yake ya pili usiku wa leo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live