Sun, 30 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baraza la Sanaa Tanzania BASATA usiku wa kuamkia leo limetangaza washindi wa tuzo muziki Tanzania (TMA) za mwaka 2022 jijini DaresSalaam.
Baraza la Sanaa Tanzania BASATA usiku wa kuamkia leo limetangaza washindi wa tuzo muziki Tanzania (TMA) za mwaka 2022 jijini DaresSalaam. Rapa @billnass Nenga Mafioso amebeba tuzo ya msanii bora wa kiume wa hip hop mwaka 2022 akiwapiga chini wasanii wengine kama Joh Makini, Fid Q, Country Wizzy na Kala Jeremiah.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live