Sun, 30 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baraza la Sanaa Tanzania BASATA usiku wa kuamkia leo limetangaza washindi wa tuzo muziki Tanzania (TMA) za mwaka 2022 jijiniDaresSalaam.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Muziki wa Dansi wa Kike wa Mwaka imeenda kwa @angelnyigu.
Aidha, @chino_kidd7 amehinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Muziki wa Dansi wa Kiume wa Mwaka.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live