Sun, 30 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baraza la Sanaa Tanzania BASATA usiku wa kuamkia leo limetangaza washindi wa tuzo muziki Tanzania (TMA) za mwaka 2022 jijini DaresSalaam.
Msanii wa BongoFleva @phina__tz ameshinda tuzo ya mtumbuizaji bora wa mwaka tuzo za Tanzania Music Awards akiwashinda wasanii kama @officialzuchu na @luludivatz
Hii inakuwa tuzo yake ya pili kushinda tuzo hii ya mtumbuizaji bora wa kike Tanzania.
#TanzaniaMusicAwards #Phina.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live