Staa wa Muziki na Filamu mwenye Asili ya Nigeria na Marekani #Rotimi na Mpenzi wa Staa #VanessaMdee ameendelea kuonesha jitihada zake za kujua Lugha ya kiswahili. . Baada ya staa #JacklineWolper kushare video akiwa na watoto wake wawili #VeeMoney na Mpenzi wake #Rotimi walimpa pongezi huku #Rotimi akifunguka kuwa Mwaka huu amejifunza mambo mbalimbali ya kiswahili.
Staa wa Muziki na Filamu mwenye Asili ya Nigeria na Marekani #Rotimi na Mpenzi wa Staa #VanessaMdee ameendelea kuonesha jitihada zake za kujua Lugha ya kiswahili. . Baada ya staa #JacklineWolper kushare video akiwa na watoto wake wawili #VeeMoney na Mpenzi wake #Rotimi walimpa pongezi huku #Rotimi akifunguka kuwa Mwaka huu amejifunza mambo mbalimbali ya kiswahili.