Fri, 31 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa muziki kutoka Nigeria, David Adedeji Adeleke 'Davido', rasmi ameachia Album yake mpya ya #TIMELESS baada ya kukaa kimya kwa muda.
Ndani ya Album hiyo yenye ngoma 17, mastaa kama #Asake #Focalist #Musakeys #Skepta na wasanii wake wawili wa lebo ya #DMW #Morravey na #LogosOlori na wengine wamehusika.
Ali Kiba ambaye alikuwa anatajwa kuwa huenda angetokea kwenye album hiyo, baada ya fake album Cover kuenezwa mitandaoni, sasa hayumo kwenye orodha ya wasanii waliokiwasha kwenye album.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live