Fri, 14 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Producer wa ngoma ya msanii Saraphina 'Phina', #UpoNyonyo aitwaye @aloneym1 amesema kuwa yeye ndio aliyetengeneza wimbo huo na sio producer @nusdervenom kama ilivyowekwa na Basata kwenye Tuzo za TMA.
Hata hivyo, waandaaji wa Tuzo za TMA wamesharekebisha kipengele hiko na kuweka Jina la @aloneym1.
Akizungumzia hilo, @aloneym1 amesema kuwa hajawahi kukutana na Nusda lakini amesekia kazi zake mbalimbali na kukiri kuwa ni prodyuza mkali.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live