Fri, 21 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Meneja usajili na kumbukumbu wa @cosotatanzania Philemone Kilaka, hivi karibuni alithibitisha kuwa COSOTA itatoa stahiki kwa kila msanii anayestahili kupata mirabaha ya mwaka 2022.
Meneja usajili na kumbukumbu wa @cosotatanzania Philemone Kilaka, hivi karibuni alithibitisha kuwa COSOTA itatoa stahiki kwa kila msanii anayestahili kupata mirabaha ya mwaka 2022. Waziri wa utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.Dkt. Pindi Chana anatarajiwa kuwepo kama mgeni rasmi katika zoezi la ugawaji wa mirabaha.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live