Fri, 3 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
C.E.O wa Wcb wasafi Diamond Platnumz kupitia insta story yake ametupa kidongo kwa wale aliodai wanalazimisha upinzani naye.
Diamond ameshare chart ya wasanii waliotazamwa zaidi kupitia mtandao wa YouTube kwa mwezi February 2023 na kuandika;
“Mnaolazimishaga upinzani mngejikagaza hata kidogo kwenye vimauzo vyenu, asa manyimbo yote mnayotoaga kila kukicha faida yake nini?”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live