Mtandao wa YouTube umekuwa maarufu katika karne ya 21 hasa kwa kuweka maudhui mbalimbali na watu kuingiza pesa ndefu kupitia mtandao huo unaomilikiwa na Kampuni kubwa Duniani ya Googlr.
Leo tutatazama mastaa 15 wa Nigeria ambao wamefanikiwa kupata watazamaji (views) wengi zaidi kupitia mtandao huo tangu wajiunge mpaka leo Septemba 12, 2023.
Tazama hapa wasanii wa Nigeria wenye YouTube views nyingi zaidi;
01. Burna Boy (211 videos) - 2.31 billion views
02. Wizkid (64 videos) - 1.78 billion views
03. Davido (55 videos) - 1.43 billion views
04. Rema (102 videos) - 1.30 billion views
05. Ckay (98 videos) - 1.25 billion views
06. Flavour (343 videos) - 1.16 billion views
07. P-Square (104 videos) - 1.13 billion views
08. Tekno (33 videos) - 1.00 billion views
09. Kizz Daniel (130 videos) - 885 million views
10. MavinRecords (751 videos) - 805 million views
11. Sinach (197 videos) - 765 million views
12. Fireboy DML (91 videos) - 760 million views
13. Yemi Alade (225 videos) - 732 million views
14. Omah Lay (109 videos) - 605 million views
15. Mr Eazi (187 videos) - 492 million views.