Ni muda wa Wasanii kujinyakulia maokoto yao ya mgao wa Mirabaha, Msanii Naseeb Abdul maarufu Diamond Platnumz amejinyakulia zaidi ya Tsh milioni saba kwenye mgao huo.
Mirabaha hiyo imetolewa usiku wa jana Ijumaa Julai 21, 2021 na COSOTA na kuhudhuriwa na wasanii, viongozi na wadau mbalimbali wa sanaa katika hoteli ya Hayatt Regency jijini Dar es Salaam.
1. Diamond Platnumz - Sh7.7 milioni
2. Alikiba - Sh5.0 milioni
3. Rayvanny - Sh4.9 milioni
4. Zuchu - Sh4.7 milioni
5. Mbosso - Sh4.2 milioni
6. Nandy - Sh3.5 milioni
7. Harmonize - Sh3.4 milioni
8. Maua Sama - Sh2.3 milioni
9. Young Lunya - Sh1.7 milioni
10. G Nako - Sh1.3 milioni.