Fri, 6 Sep 2024
Chanzo: Bbc
Rais wa Kenya William Ruto anasema habari za moto huo ni mbaya sana na ameagiza uchunguzi ufanyike kuhusu chanzo chake.
"Tunawaombea manusura wapone haraka," amesema kwenye mitandao ya kijamii.“Naagiza mamlaka husika kuchunguza kwa kina tukio hili la kutisha, waliohusika watachukuliwa hatua.
"Serikali chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa inakusanya rasilimali zote muhimu kusaidia familia zilizoathiriwa."
Chanzo: Bbc