Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Nchi za Afrika zenye pato kubwa la taifa

Port Louis Mauritius 2012 Nchi za Afrika zenye pato kubwa la taifa

Tue, 5 Mar 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), limezitaja nchi 10 za barani Afrika zenye pato kubwa la taifa kwa mwaka 2024.

Orodha hii inajumuisha kiasi cha bidhaa na huduma zinazozalishwa na raia kwa muda fulani.

Zifuatazo ndizo nchi zilizotajwa kuwa na utajiri mkubwa (2024):

1. Mauritius

2. Libya

3. Botswana

4. Gabon

5. Egypt

6. Equatorial Guinea

7. South Africa

8. Algeria

9. Tunisia

10. Morocco.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live