Mon, 29 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Serikali ya Rwanda imetangaza hatua mpya ambazo ni pamoja na kusimamisha safari za ndege kwenda na kutoka nchi za kusini mwa Afrika.
Travel updates for passengers traveling to & from Johannesburg, Cape Town, Lusaka and Harare. pic.twitter.com/ndXTGRWhiJ
— RwandAir (@FlyRwandAir) November 28, 2021
Abiria wote wanaowasili lazima wathibitishe kutokuwa na virusi vya corona na wafanyiwe vipimo vya marudio wanapowasili .
Karantini ya siku saba pia imerejeshwa kwa wasafiri wanaotoka nchi zilizoathiriwa hivi karibuni na mawimbi mapya.
Wale wote wanaohudhuria mikusanyiko kama vile harusi na mazishi lazima wapate chanjo kamili.
Kufuatia maagizo ya serikali kuhusu usafiri, shirika la ndege la Rwandair limesitisha huduma kwenda Afrika Kusini, Zimbabwe na Zambia:
Chanzo: www.tanzaniaweb.live