Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Brando Caviir awapa mashabiki "Fight Back"

Dd813238cf4dd4590749d71f65e2ce538272fa946a85b7f364f78054ffb03b83 Brando Caviir awapa mashabiki "Fight Back"

Mon, 10 May 2021 Chanzo: mtanzania.co.tz

Kingston, Jamaica

Mkali wa muziki kutoka nchini Jamaica, Brando Caviir, amewashukuru mashabiki kwa mapokezi makubwa ya wimbo wake, Fight Back.

Akizungumzia wimbo huo, Caviir, amesema ndani ya muda mfupi, Fight Back, imewafikia mashabiki wengi na umeweza kuingia kwenye chati za redio mbalimbali duniani jambo linalompa furaha.

“Nimeachia audio, video ya Fight Back itatoka mwezi huu huu ili mashabiki zangu waendelee kupata burudani, bado nahitaji sapoti ya mashabiki zangu ili muziki mzuri uendelee kutamba,” amesema Brando Caviir.

Chanzo: mtanzania.co.tz