Fri, 4 Mar 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Viongozi wa Yanga usiku wa Jana, walikwenda Upanga jijini Dar kumtembelea Shabiki wao mtoto Ally Kimara, ambaye anaumwa magonjwa yasiyojulikana.
Viongozi wa Yanga usiku wa Jana, walikwenda Upanga jijini Dar kumtembelea Shabiki wao mtoto Ally Kimara, ambaye anaumwa magonjwa yasiyojulikana. Mama wa Ally alifanya mahojiano na vyombo vya Habari na kusema mwanae ni shabiki wa Yanga na anampenda mshambuliaji Fiston Mayele hivyo viongozi waliamua kumsapraizi Kimara kwa kumletea mchezaji huyo ambaye staili yake ya ushangiliaji imekuwa gumzo sehemu mbalimbali.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live