Thu, 22 Jul 2021
Chanzo: globalpublishers.co.tz
Yanga Yapokelewa Kifalme Kigoma – Video July 22, 2021 by Global Publishers
MASHABIKI wa Timu ya Yanga wamemiminika kuipokea timu yao ilipowasili mkoani Kigoma kwa ajili ya mtanange wa fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam dhidi ya Simba Sc utakaopigwa Jumapili katika Uwanja wa Lake Tanganyika.
Share this:TweetWhatsApp Related
Chanzo: globalpublishers.co.tz