Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Yanga: Maxi Nzengeli hauzwi

Maxi Nzengeli Msz Yanga: Maxi Nzengeli hauzwi

Wed, 24 Jul 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Uongozi wa Klabu ya Young Africans haujapokea ofa yoyote Juu ya kiungo wao Raia wa Congo DR Maxi Nzengeli.

Pia, uongozi wa klab ya Yanga umethibitisha kuwa kwasasa hakuna Mchezaji atakayetolewa kikosini kama yupo kwenye Mipango ya Mwalimu (Gamondi).

Chanzo Kimeripoti; "Ni kweli hata sisi tumeziona taarifa hizo kwenye Mitandaoni kama zilivyo ila Wajue hakuna Mchezaji Yeyote atakayeondoka ndani ya klab yetu kama yupo kwenye Mipango ya Mwalimu Gamondi."

Chanzo: www.tanzaniaweb.live