Wed, 15 Sep 2021
Chanzo: millardayo.com
Wasanii wanaoishabikia Klabu ya wekundu wa Msimbazi, Simba SC, leo Septemba 15 wamekutana katika duka la mfanyabiashara Fred Ngajiro maarufu Vunjabei, kuzungumza na waandishi wa Habari Kuelekea kilele cha Tamasha la Simba Day.
Kilele cha Tamasha la Simba Day itakua nu Septemba 19 katika Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Wasanii waliojitokeza ni pamoja na wale wa muziki na maigizo kama vile Mtitu, Monalisa, Natasha, Quick Racka,Beny Kinyaiya na wengine wengi.
Chanzo: millardayo.com