Mon, 11 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
Msemaji wa timu ya Mbwana Samatta, Joti amefunguka kuzungumzia ubora wa timu ya mkali huyo wa klabu ya Genk yakiwa ni maandalizi ya mchezo wao wa hisani dhidi ya timu ya muimbaji Alikiba katika mchezo wa hisani ambao utachezwa kesho Uwanja wa Taifa.
Loading...
Chanzo: bongo5.com