Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Video: Alikiba alidharau uwezo wangu, sasa moto wangu wameuona – Joti

Video Archive
Mon, 11 Jun 2018 Chanzo: bongo5.com

Msemaji wa timu ya Mbwana Samatta, Joti amedai sio kweli kwamba alimtosa Alikiba na kuamua kujiunga na team Samatta kama baadhi ya watu wanavyodai. Mchekeshaji huyo amedai muimbaji huyo wa Aje alionekana kudharau uwezo wake ndio maana lilivyotokea deal la Samatta akalichangamkia.

Loading...
Chanzo: bongo5.com