Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

VIDEO: Kauli ya Samatta kabla ya kuungana na Stars

Video Archive
Tue, 9 Nov 2021 Chanzo: AyoTV

Nahodha wa Time ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars Mbwana Samatta leo amewasili nchini akitokea Ubelgiji kwa jailli ya kuungana na Taifa Stars katika michezo miiili muhimu ya kuwania kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar, Stars watacheza dhidi ya Congo DR alhamisi hii uwanja wa Taifa na baadea kwenda Madagascar kucheza dhidi ya Timu ya Taifa ya Madagascar November 14.

Nahodha wa Time ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars Mbwana Samatta leo amewasili nchini akitokea Ubelgiji kwa jailli ya kuungana na Taifa Stars katika michezo miiili muhimu ya kuwania kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar, Stars watacheza dhidi ya Congo DR alhamisi hii uwanja wa Taifa na baadea kwenda Madagascar kucheza dhidi ya Timu ya Taifa ya Madagascar November 14.

Chanzo: AyoTV