Wed, 31 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wachezaji wa Simba SC pamoja na benchi la ufundi, tayari wamewasili jijini Dar wakitokea nchini Misri walipokuwa wameweka kambi.
Wachezaji wa Simba SC pamoja na benchi la ufundi, tayari wamewasili jijini Dar wakitokea nchini Misri walipokuwa wameweka kambi. Simba waliweka kambi nchini Misri kwa takriban wiki tatu kabla ya kurejea tayari kabisa kwa ajili ya kuanza msimu mpya wa 2024-25 ambapo shamrashamra zitaanza Jumamosi hii Agosti 3, 2024 watakapokipiga na APR siku ya Simba Day.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live