Mon, 11 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
Mshambuliaji wa timu ya Taifa na klabu ya Genk ya nchini Ubelgiji, Mbwana Samatta amefunguka kuzungumzia mambo mbalimbali kuhusu mtanange wake wa hisani dhidi ya muimbaji Alikiba ambayo utachezeka hapo kesho katika Uwanja wa Taifa jiijini Dar es salaam.
Loading...
Chanzo: bongo5.com