Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Rais Magufuli afanya uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TPB

6905 Rais Magu 1 TZW

Mon, 23 Apr 2018 Chanzo: bongo5.com

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Posta Tanzania (TPB).



Rais Magufuli amemteua Dkt. Edmund Bernald Mndolwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi hiyo akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Prof. Lettice Rutashobya ambaye amemaliza muda wake.

Soma taarifa hiyo hapa chini.

Chanzo: bongo5.com