Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Oscar Oscar, Ally Mayai Wakatwa Urais TFF -Video

Video Archive
Thu, 17 Jun 2021 Chanzo: globalpublishers.co.tz

Kamati ya Uchaguzi ya TFF kupitia kwa Makamu Mwenyekiti wake, Benjamin Karume, leo Juni 16, 2021 imewatangaza waliokosa vigezo vya kuendelea na mchakato wa uchaguzi kwa nafasi ya Urais kuwa ni Oscar Oscar, Ally Mayay Tembele na Ally Saleh.

Waliopita kuwania Urais wa TFF ni Evans G. Mgeusa, Wallace Karia na Hawa Mninga.

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

Chanzo: globalpublishers.co.tz