Tue, 18 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba SC walikuwa ugenini kule katika uwanja wa Sokoine kule Jijini Mbeya, kupepetana na wenyeji Mbeya City.
Mchezo huo uliisha kwa Simba kukubali kichapo cha goli 1-0, huku Mbeya City wakimaliza mchezo huo wakiwa pungufu baada ya Nahodha wao kupewa kadi nyekundu.
Hali kadhalika Simba pia walipata penati kipindi cha Pili laki Chris Mugalu alishindwa kuweka mpira wavuni.
Tazama Video kuona matukio yote muhimu yaliyojitokeza katika mchezo huo, kuanzia magoli, kadi na Penati.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live