Mon, 20 Jun 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Juni 19 Simba walishuka Dimbani katika Uwanja wa Mkapa kukipiga na KMC mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Mchezo huo ulishuhudia Simba wakiibuka na ushindi wa magoli 3-1, na pia ukitumika kumuaga kiungo wao Rally Bwallya aliyeuzwa Afrika ya Kusini.
Tanzaniaweb tumekusogezea magoli yote katika mchezo huo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live