Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Museveni awacharukia Wazungu

MUSEVENI WEB Museveni awacharukia Wazungu

Thu, 17 Nov 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametumia ukurasa wake wa Twitter kukosoa msimamo wa mataifa ya ulaya kuhusu uchafuzi wa hewa na kusema wamekuwa “vigeugeu”.

Kupitia ukurasa huo, Museveni ameonesha kusikitishwa na hatua ya Ujerumani kusitisha shamba la umeme wa jua na kuanza uchimbaji wa makaa ya mawe hatua ambayo Museveni amesema ni dhihaka kwa ahadi ya mataifa ya ulaya ya kupambamba na uharibifu wa mazingira.

Kutokana na uhaba wa nishati unaoikabili dunia kwa sasa nchi nyingi za ulaya zimeamua kuongeza uzalishaji wa makaa ya mawe hatua ambayo imepingwa vikali na wanaharakati wa mazingira.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live