Sun, 1 May 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amewashauri Waganda kula Mihogo kama mbadala wa Mkate ambao bei yake imeongezeka kutokana na kuathiriwa kwa usambazaji wa Ngano.
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amewashauri Waganda kula Mihogo kama mbadala wa Mkate ambao bei yake imeongezeka kutokana na kuathiriwa kwa usambazaji wa Ngano. Akizungumza katika Sikukuu ya Wafanyakazi amesema ongezeko la bei ni matokeo ya majanga ya asili ikiwemo COVID-19 pamoja na athari za uvamizi wa Urusi Nchini Ukraine ambazo zimesababisha uhaba wa bidhaa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live