Sat, 22 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati Simba wakijiandaa na mchezo mgumu na muhimu wa Robo Fainali ya Kwanza dhidi ya Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Rais wa Heshima na mwekezaji katika Klabu ya Simba, Mohammed Dewji ametoa neno kuhusiana na mchezo huo kuanzia mipango yao, matarajio na namna watakavyopambana kufika hatua inayofuata.
Msikilize Mo kwa urefu katika mahojiano yake .
Chanzo: www.tanzaniaweb.live