Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mchezo wa Gofu ni zao jipya la Utalii Tanzania

Video Archive
Sun, 26 Sep 2021 Chanzo: eatv.tv

Mchezo wa gofu ni zao jipya la utalii nchini Tanzania ambalo limezinduliwa Septemba 25 Jijini Arusha na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro ambapo amesema hatua hiyo itaongeza idadi ya Watalii nchini.

Kwa upnade wake Waziri wa Utalii na Wanyamapori wa Kenya, Mhe. Najib Balala ambaye alikuwa ni mgeni rasmi katika uzinduzi huo amesema nchini Kenya mchezo wa gofu umekuwa na mwamko mkubwa.

 

Chanzo: eatv.tv