Tue, 1 Mar 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ni miongoni mwa watu mashuhuri walioshiriki katika mazishi ya Baba Mzazi wa Mmiliki wa Kampuni wa GSM, Mr Ghalib Said Mohammed
Makonda amejitokeza katika msikiti wa Maamur Upanga, ambapo ndipo mwili wa Baba wa GSM Uliposwaliwa.
Makonda ni miongoni mwa watu waliofanya kazi na Makampuni ya GSM wakati wa Uongozi wake, lakini pia ni watani wa jadi na GSM.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live