Thu, 6 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Usiku wa Jana Yanga ilitoka kifua mbele katika mchezo wake wa Kwanza wa Mapinduzi Cup dhidi ya Taifa Jang'ombe ya visiwani Zanzibar.
Mchezo huo uliopigwa katika Uwanja wa Amaan, ulishuhudia wakali hao wa Ligi Kuu Tanzania Bara wakiibuka na ushindi wa magoli 2-0 yaliyowekwa kimiani na Makambo 32' na mchezaji mpya wa Kikosi hicho Denis Nkane.
Tazama magoli yote hapa, Tanzaniaweb tumekusogezea
Chanzo: www.tanzaniaweb.live