Mon, 25 Apr 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ikiwa zimebaki siku tano kuelekea katika mchezo wa Watani wa Jadi Simba na Yanga ambayo itapigwa April 30 mwaka huu.
Vinara wa Ligi Kuu NBC,na wenyeji wa mchezo huo wanazungumza na Wanahabari muda huu.
Tanzania Web inakujuza kila kitu ambacho kinaendelea katika Mkutano huo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live