Thu, 10 Mar 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msemaji wa klabu ya Yanga, Haji Manara, leo Machi 10, amezungumza na wanahabari na kuelezea kuwa Yanga inatarajia kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya Somalia, siku ya Jumamosi katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar.
Msemaji wa klabu ya Yanga, Haji Manara, leo Machi 10, amezungumza na wanahabari na kuelezea kuwa Yanga inatarajia kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya Somalia, siku ya Jumamosi katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live