Mon, 4 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwenyekiti wa Kamati ya uchaguzi wa Yanga wanazungumza na wanahabari kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Klabu ambao ulikuwa ufanyike julai 10.
Mbali na hilo Mwenyekiti wa sasa wa Yanga, Dk Mhindo Msolla anatoa neno akiwa kama kiongozi ndani ya Klabu.
Uchaguzi wa Yanga kampeni zinaanza leo na utafanyika tarehe 9 kutokana na tarehe 10 kuwa ni Sikukuu ya Eid.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live