Mon, 25 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Kamati ya maadili ya TFF kumwaga ugali, kwa kumpiga kifungo cha miaka miwili na Faini ya milioni 20.
Hii leo Haji Manara kwa mara ya kwanza anazungumza na wanahabari tangu kufungiwa kwake.
Manara ana lipi la kusema , endelea kuwa karibu na Tanzaniaweb kujua kile kinachokwenda kuzungumzwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live