Thu, 6 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msemaji wa Klabu ya Wanachi Haji Manara amejinasibu kwamba wamekuja na kombe la Mapinduzi Cup kama mabingwa watetezi na wana uhakika wa kuondoka nalo kama mabingwa wapya.
Haji amesema kuwa baadhi ya wachezaji walikuwa mapumziko na kuanzia leo Januari 6, wataanza kuingia visiwani humo kuungana na Timu.
Msikilize hapa akizungumza;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live