Wed, 26 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Chris Benoit ni Mwanamieleka Raia wa Canada ambae alifanya vyema katika jukwaa la mieleka lakini akaimaliza hadithi yake kwa masikitiko makubwa.
Chris Benoit ni Mwanamieleka Raia wa Canada ambae alifanya vyema katika jukwaa la mieleka lakini akaimaliza hadithi yake kwa masikitiko makubwa. Benoit mwaka 2007 alifanya tukio la mauaji ambako alimuua mkewe na mwanae wa kiume na kisha nae kujimaliza.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live