Wed, 18 Sep 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha Abdeslam Ouaddou (44) amejiuzulu nafasi ya ukocha mkuu wa AS Vita Club baada ya kufungwa na Stellenbosch FC.
Mchezaji huyo wa zamani wa kimataifa wa Morocco pia alizozana na mashabiki wa klabu hiyo wakati wa mechi ya usiku wa kuamkia leo.
Hiki Kichapo kimemfanya Kocha wa As Vita ajiuzulu
FT: Stellenbosch 2-0 AS Vita
⚽️ Moloisane 7’
⚽️ Mojela 12’.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live